Psalms 119:1-3

Sifa Za Sheria Ya Bwana

Kujifunza Sheria Ya Bwana


1 aHeri wale walio waadilifu katika njia zao,
wanaoenenda katika sheria ya Bwana.

2 bHeri wale wanaozishika shuhuda zake,
wamtafutao kwa moyo wao wote.

3 cWasiofanya lolote lililo baya,
wanaoenenda katika njia zake.
Copyright information for SwhKC